AL-WAQF LILLAAHI FOUNDATION
inatekeleza miradi yenye lengo la kuinua maisha ya jamii kupitia:
• Elimu – kusaidia watoto na vijana kupata elimu bora
• Afya – kutoa elimu ya afya na kusaidia wagonjwa wasiojiweza
• Misaada – kuwahudumia yatima, wajane, wazee na wahitaji
• Waqf – kuendeleza miradi endelevu ya sadaka ya kudumu
• Uwezeshaji – mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake na vijana
Kwa pamoja tunajenga jamii yenye ustawi na matumaini.

No comments:
Post a Comment